Jumapili 20 Aprili 2025 - 08:29
Tanguliza utakasifu (kujiheshimu) katika kuamiliana na asiyekuwa maharimu

Kuweni na utakasifu (jiheshimuni) kwa wanawake wa watu, ili wanawake wenu wafanyiwe utakasifu (waheshimiwe).

Shirika la Habari la Hawza | Imamu Swadiq (a.s) amesema:

«عِفُّوا عَنْ نِسَاءِ اَلنَّاسِ تَعِفَّ نِسَاؤُكُمْ.»

"Kuweni na utakasifu (jiheshimuni) kwa wanawake wa watu, ili wanawake wenu wafanyiwe utakasifu (waheshimiwe)."

Tuhaf al-Oghul, Jz 1, uk 359

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha